PICHA NA MATUKIO YALIYOJIRI KANISANI FPCT CHAMWINO LEO HAYA HAPA

Mtumishi wa Mungu Pastor Elia Timothy (katikati) Akiimba sambamba na Mzee wa kanisa Mwaila.

Waumini wa kanisa la FPCT Chamwino Dodoma wakimtukuza BWANA

Wamama wakimtukuza BWANA

Watu wakimwabudu Mungu katika Ibada ya leo jumapili

Wakati wa Sifa na Kuabudu

Brother Elly akimsifu Mungu kwa kupiga gitaa sambamba na wapiga vyombo wenzake Daniel Daud (Keyboard) na Isack (Gitaa)

Wapiga vyombo wakimtukuza Mungu kupitia huduma zao

Mtumishi wa Mungu Isack akipiga gitaa la solo na kumtukuza Mungu

Dada Grace Mtaha akimwimbia Mungu kwa Sauti yake

Mrs. Lawson akimsifu Mungu kwa Kigelegele

Watumishi wa Mungu wakimsifu Mungu kwa Kumwabudu

Kiongozi wa Ibada Ndg Lawson akiongoza kipindi cha Sifa na Kuabudu

Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Tanzania na Afrika Mashariki Dada Rhoda Mahewa (Mwenye suti nyeusi) akiwa na waimbaji wa PRAISE TEAMwakimsifu na kumtukuza MUNGU.

Askofu Mathayo Timoth (Kushoto ) na Mzee Langbory wakisikiliza kwa Makini kile ambacho Mungu anasema nao leo

Kwaya ya wamama wakimwimbia Mungu 

Mzee wa kanisa MAGULU akitoa Matangazo mapema leo kanisani

Mzee Langbory akiwakaribisha wageni walioabudu pamoja nasi leo.

Wakati wa sifa na Kuabudu

Mchungaji Elia Timothy akiwaongoza waumini katika kuomba

Wamama wakimwabudu Mungu katika Roho na Kweli

Wamama waombolezao wakimwabudu Mungu katika Roho na kweli

Ibada ya Kusifu na Kuabudu ikiendelea

Mzee Magulu akimwomba Mungu

Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Bro. Elly Timothy akimwabudu Mungu

Mtumishi wa Mungu Shukrani akimwomba Mungu

Mwimbaji Naftari Mahewa akiimba na waimbaji wengine wa PRAISE TEAM kanisani leo

Pastor Elia Timothy akimwomba Mungu

Waumini wakimwabudu Mungu katika Ibada ya leo

Mama Paranjo akimwabudu Mungu 

Mtumishi wa Mungu Elia Timothy akiimba kwa hisia wakati wa kumwabudu Mungu

Waumini wakisalimiana kanisani

Waumini wakiwa na furaha hemani mwa Bwana leo

Mchungaji Elia Timothy akitabasamu kwa Furaha juu ya ushindi wa YESU aliouona Maishani mwangu.

Mtumishi wa Mungu Elia Timothy akisisitiza jambo leo

Mtumishi wa Mungu Elia Timothy akimwomba Mungu mapema leo katika kanisa la FPCT CHAMWINO - DODOMA.
Oldest